• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

 UTANGULIZI

TEHAMA ni moja  ya kitengo kinachounda Sekretariati ya Mkoa wa Katavi. Jukumu kubwa la kitengo hiki ni kumshauri Katibu Tawala wa Mkoa  kuhusu shughuli zote za Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano katika Mkoa wa Katavi.

MAJUKUMU YA KITENGO:

  • Lengo

    Kutoa ushauri na utaalam kuhusu masuala yahusuyo  TEHAMA .

    Kitengo kitafanya kazi zifuatazo:-

     Utekelezaji wa sera ya TEHAMA na Serikali mtandao;


    Kumshauri Katibu Tawala wa Mkoa kuhusu  matumizi bora  ya rasilimali za TEHAMA katika Mkoa  ili kupunguza gharama na kuongeza ubora wa huduma kwa umma
  •  Kushauri  kuhusu  kusimika na kusimamia matumizi ya mifumo ya kielektroniki kwa kushirikiana na Wataalam wa TEHAMA wa OR-TAMISEMI  katika kutoa kuduma mbalimbali  kwa umma .


  •  Kushauri matumizi sahihi  ya miongozo mbalimbali ya TEHAMA iliyotolewa  na Serikali   katika kusimamia mifumo ya kielektironiki kwa ufanisi na weledi.

  • Kushauri kuhusu manunuzi ya vifaa vya TEHAMA vinavyozingatia ubora na viwango vinavyokubalika.

  •  Kutoa huduma za ushauri wa kitaalam na msaada wa kiufundi kwa ngazi ya Mkoa na Halmashauri zake zote kadri inavyohitajika.



Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2020 MKOA WA KATAVI December 08, 2019
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Katavi awaonya Wafanyabiashara Vyuma Chakavu.

    June 02, 2022
  • Maadhimisho Wiki ya Maziwa Kitaifa kufanyika Katavi, RC Katavi awahimiza Wananchi/Wadau kushiriki kikamilifu.

    May 25, 2022
  • Safari za Ndege ATCL Katavi sasa mara Nne kwa Wiki, RC Mrindoko awataka Wananchi kutumia Fursa hiyo Kiuchumi.

    May 23, 2022
  • Kampeni ya Chanjo ya Matone ya POLIO yazinduliwa Mpanda, Mganga Mkuu wa Mkoa awataka Wananchi kutoa ushirikiano kwa timu za Wataalamu.

    May 19, 2022
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • MWENGE BLOG-KATAVI
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved