• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Katavi kuadhimisha siku ya UKIMWI Duniani Wilayani Tanganyika.

Posted on: November 29th, 2022

Mkoa wa Katavi Sikuya Tarehe 1 Desemba 2022 utaungana na mikoa mingine kote Nchini kuadhimisha siku ya UKIMWI Duniani katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kasekese ulioko Wilayani Tanganyika.

Katika maadhimisho hayo ya siku ya UKIMWI Duniani kimkoa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko atakua Mgeni rasmi.

Maadhimisho hayo yataambatana na shughuli mbalimbali zikiwemo upimaji wa VVU na utoaji ushauri nasaha,utoaji wa elimu ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na Elimu ya Lishe.

Aidha,itakuwepo pia huduma ya uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake,uchunguzi wa Ugonjwa wa Kifua kikuu,pamoja na elimu ya uzazi wa mpango ambapo huduma hizo zitatolewa bila malipo yoyote.


Kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani inasema, Imarisha Usawa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA ZA KIBINGWA MKOA WA KATAVI

    September 11, 2023
  • UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA ZA KIBINGWA MKOA WA KATAVI

    September 11, 2023
  • MKUU WA MKOA KATAVI APIGA STOP UNYANYASAJI SEHEMU ZA KAZI

    May 01, 2023
  • SERIKALI MKOA WA KATAVI KUPANDISHA MADARAJA WATUMISHI 823

    May 01, 2023
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved